KWA HABARI ZA MUZIKI WA TAARAB, WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL ramozaone@gmail.com

Sunday, August 19, 2012

BI KIDUDE YU HOI KITANDANI

Bi. Kidude yu hoi kitandani kwa kuumwa...........
Licha ya kuwa ametoa mchango mkubwa wa sanaa katika tasnia ya muziki hapa nchini, wasanii na
waandaaji wa matamasha mbali mbali waliokuwa wakimtumia wamemtelekeza msanii maarufu Bi Fatma Binti Baraka (Bi. Kidude) kutokana na hali yake ya kuumwa, ambapo hadi sasa yupo kitandani na
hajiwezi.
Ankal naomba uwafikishie ujumbe huu wasanii wote na waandaaji wa matamasha waliokuwa
wakifanya kazi na bi Kidude kwani anaumwa sana.
Mdau wa Globu ya Jamii Zanzibar

No comments:

Post a Comment