KWA HABARI ZA MUZIKI WA TAARAB, WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL ramozaone@gmail.com

Monday, January 27, 2014

KWENYE PICHA MNAPENDEZA, LAKINI MH....

Ni tangazo la Jahazi. Lakini pia picha ya wanafamilia, Mzee Yussuf, mkewe Leila Rashid na dada mtu, Khadija Yussuf. Leila ni mke wa Mzee na pia wifi ya Khadija.

Kwenye picha mnapendeza, lakini haifurahishi kusikia Khadija na Leila hawaelewani, wanagombana mara kwa mara. Haipendezi.

No comments:

Post a Comment