KWA HABARI ZA MUZIKI WA TAARAB, WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL ramozaone@gmail.com

Sunday, September 23, 2012

MWANAHAWA APAGAWISHA MASHABIKI DAR LIVE

Mwimbaji mkongwe wa taarab, Mwanahawa Ally (juu) akiimba wakati wa onyesho la usiku wa dhahabu lililofanyika jana kwenye ukumbi wa Dar Live uliopo Mbagala, Dar es Salaam. Picha ya chini ni waimbaji wa kundi la East African Melody wakiimba wakati wa onyesho hilo.

No comments:

Post a Comment