KWA HABARI ZA MUZIKI WA TAARAB, WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL ramozaone@gmail.com

Friday, April 19, 2013

MAZISHI YA BI KIDUDE PICHANI


Jeneza lenye mwili wa marehemu Bi Kidude likitolewa kwenye msikiti, ambako mwili wake uliswaliwa.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Seif Sharrif Hamad akiweka mchanga kwenye kaburi la marehemu Bi Kidude wakati wa mazishi yake yaliyofanyika jana Zanzibar.
Rais Jakaya Kikwete akiweka mchanga kwenye kaburi la marehemu Fatuma Binti Baraka'Bi Kidude' wakati wa mazishi yake yaliyofanyika jana Zanzibar.
Msanii nyota wa muziki wa kizazi kipya nchini, Naseeb Abdul 'Diamond' akiweka mchanga kwenye kaburi la marehemu Bi Kidude
Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Sheni akiweka mchanga kwenye kaburi la marehemu Bi Kidude wakati wa mazishi yake yaliyofanyika jana Zanzibar.

No comments:

Post a Comment