KWA HABARI ZA MUZIKI WA TAARAB, WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL ramozaone@gmail.com

Monday, May 26, 2014

DK SHEIN AKICHANGIA KIKUNDI CHA ZANZIBAR MODERN TAARAB SH. MILIONI NANE

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la  Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein akipokea album mbili za nyimbo kutoka kwa Mkurugenzi wa kikundi cha muziki wa taarab cha  Zanzibar Modern Taarab, Abdalla Ali, alipokuwa akiwa mgeni rasmi katika sherehe za kikundi hicho kutimiza miaka saba tangu
kuanzishwa kwake. Katika sherehe hiyo, Rais alikichangia kikundi hicho shillingi za kitanzania milioni nane. Hafla hiyo ilifanyika katika ukumbi wa Salama wa Hoteli ya Bwawani, Zanzibar.[Picha na Ramdhan Othman,Ikulu.]

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na wasanii wa kikundi cha muziki wa taarab cha Zanzibar Modern Taarab, alipokuwa mgeni rasmi katika sherehe za kikundi hicho kutimiza miaka saba tangu kuanzishwa kwake. [Picha na Ramdhan Othman,Ikulu.]

No comments:

Post a Comment