KWA HABARI ZA MUZIKI WA TAARAB, WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL ramozaone@gmail.com

Sunday, July 20, 2014

JAHAZI YAFUNIKA UZINDUZI WA ALBAMU YA CHOZI LA MAMA


Mzee Yusuf akisalimia mashabiki kabla ya kuanza kwa onyesho


Mzee Yusuf (kulia) akiongea jambo kabla ya uzinduzi wa "Chozi la Mama". Katikati ni Aisha Abushily 'Mama wa madikodiko' kutoka Kenya.

Meneja wa Jahazi Modern Taarab, Mohammed Rashid Mauji 'Father Mauji' pamoja na shabiki wa Jahazi wakizindua albamu mpya iitwayo "Chozi la Mama" ndani ya ukumbi wa Dar Live.

KIKUNDI cha muziki wa taarab cha Jahazi hivi karibuni kilifunika katika uzinduzi wa albamu yake mpya inayokwenda kwa jina la Chozi la Mama.

Uzinduzi wa albamu hiyo ulifanyika kwenye ukumbi wa Dar Live ulioko Mbagala, Dar es Salaam na kuhudhuriwa na mashabiki lukuki.

Kama ilivyo kawaida, wimbo uliobeba jina la albamu hiyo uliimbwa na Mzee Yusuph, ambaye pia aling'ara katika kikao cha Wasiwasi wako.

No comments:

Post a Comment