KWA HABARI ZA MUZIKI WA TAARAB, WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL ramozaone@gmail.com

Monday, January 5, 2015

OGOPA KOPA ILIVYOPAGAWISHA MASHABIKI DAR LIVE

 Malkia wa Mipasho nchini, Khadija Omar Kopa akiimba kwa hisia wakati wa onyesho hilo
 Waimbaji wa Ogopa Kopa wakiwajibika jukwaani wakati wa onyesho hilo
 Mtoto wa Khadija Kopa aitwae Mohammed Kopa akikamua huku nyuma yake akisapotiwa na wenzake
 Mkali wa miondoko ya Kigodoro, Msaga Sumu, akivamia jukwaa na kuwainua mashabiki waliokaa vitini
 Msaga Sumu akimpelekesha Khanifa Khalid anayeserebuka kwa staili ya gwaride
 Malkia wa Mipasho, Khadija Kopa (kulia) na Khanifa Khalid wakikamua
 Aziza Kimodo akifanya makamuzi wakati wa onyesho hilo
Shad Chotara, mmoja wa waimbaji wa Ogopa Kopa akishusha mpasho wake mpya

No comments:

Post a Comment