KWA HABARI ZA MUZIKI WA TAARAB, WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL ramozaone@gmail.com

Wednesday, September 24, 2014

ISHA MASHAUZI AACHIA RHUMBA NZITO, AMEIMBA PEKE YAKE MWANZO MWISHO



NYOTA wa miondoko ya taarab, Isha Ramadhani 'Mashauzi' amekuja kivingine
ambapo ameachia rhumba kali la miondoko ya muziki wa dansi.
Ngoma hiyo inakwenda kwa jina la 'Nimlaumu Nani'.

Ni wimbo wa dakika tano uliorekodiwa katika studio ya Soft Records
chini ya producer Pitchou Meshaa.

Sauti zote utakazozisikia katika wimbo huu, zimewekwa na Isha Mashauzi mwenyenye – ameimba
peke yake mwanzo mwisho.

No comments:

Post a Comment