KWA HABARI ZA MUZIKI WA TAARAB, WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL ramozaone@gmail.com

Monday, June 10, 2013

RAIS KIKWETE AIFARIJI FAMILIA YA KHADIJA KOPA

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiifariji familia na ndugu jamaa wa msanii maarufu wa taarabu na mjumbe wa Halmashauri kuu taifa CCM  Hadija Koppa kufuatia  kifo cha mumwewe Jaffari Ali Yusuf kilichotokea wiki iliyopita na kuzikwa jijini Dar es Salaam.Wapili kulia ni Mkuu wa wilaya ya Bagamoyo  Ahmed Kipozi na kulia ni mjumbe wa Halmashauri Kuu ya taifa CCM Bwana Ridhwani Kikwete(picha na Freddy Maro)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimfariji Msanii wa taarabu Hadija Koppa nyumbani kwake mjini Bagamoyo jana kufuatia kifo cha Mumwewe Marehemu Jaffari Ali Yusuf aliyefariki na kuzikwa wiki iliyopita.

No comments:

Post a Comment