KWA HABARI ZA MUZIKI WA TAARAB, WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL ramozaone@gmail.com

Tuesday, January 1, 2013

T -MOTO YAZINDUA ALBAMU YA DOMO LA UDAKU KWA STAILI YA AINA YAKE

Mashabiki wa Dar Live wakiwa na furaha ya kuuona mwaka mpya na burudani ya taarab.
Umati ukirindima kwa burudani baada ya kutangaziwa kuwa mwaka mpya 2013 umeingia
Kundi la Kings Modern Taarab likikonga nyoyo za mashabiki kabla ya kuwapisha T Moto.
Kundi la T Moto likizindua albam yake ya ‘Domo la Udaku’.
Mkurugenzi wa T Moto, Amini Salmini (kushoto) na muimbaji wa kundi hilo, Jokha Kassim (aliyevalia
shela kama bi harusi) wakiingia jukwaani kimadaha.
Wapambe walioshika shela kwa nyuma wakinogesha hafla hiyo.
Jokha akikamua.
Wacheza kiduku nao wakimrusha roho ‘bi harusi’ kwa pembeni.
Uzinduzi wa albam ukiendelea.
 Ni shangwe tupu ndani ya Dar Live.
 ‘Bi. Harusi’ akiondolewa jukwaani baada ya kumaliza kufanya makamuzi.
Muimbaji mpya wa T Moto aliyetokea Kings Modern Taarab, Ustaadh Issa Ally, akikamua.

No comments:

Post a Comment