KWA HABARI ZA MUZIKI WA TAARAB, WASILIANA NASI KWA NAMBA 0719-153800 AU 0788-455808 AU EMAIL ramozaone@gmail.com

Tuesday, April 1, 2014

FATIHYA AKIWA NDANI YA MAONYESHO YA BIASHARA COCO BEACH



MFANYABIASHARA Fatihya Masoud (kushoto) akifurahia jambo wakati akimueleza mteja, Farida Shekigenda, bei ya mabegi alipotembelea banda lake juzi kwenye maonyesho ya biashara ya Kariakoo yanayofanyika kwenye ufukwe wa Coco Beach kwa udhamini wa Kampuni ya Simu ya Tigo.

MFANYABIASHARA Fatihya Masoud (kushoto) akimueleza mteja, Farida Shekigenda, bei ya mabegi alipotembelea banda lake juzi kwenye maonyesho ya biashara ya Kariakoo yanayofanyika kwenye ufukwe wa Coco Beach kwa udhamini wa Kampuni ya Simu ya Tigo.

MFANYABIASHARA Fatihya Masoud akifurahia vipodozi vyake wakati wa maonyesho hayo

No comments:

Post a Comment