Saturday, November 21, 2015

PICHA YA KIHISTORIA KWA WATANZANIA, HAIJAWAHI KUTOKEA NA PENGINE HAITAKUJA KUTOKEA AFRIKA

RAIS John Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na marais wastaafu, wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi, wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa na wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete baada ya kulihutubia na kulizindua jana mjini Dodoma.

1 comment: